Yohana 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mimi na Baba ni kitu kimoja.”*+ Yohana 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 ili wote wawe kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe Baba umo katika muungano nami, nami nimo katika muungano nawe,+ ili wao pia wawe katika muungano nasi, ili ulimwengu uamini kwamba ulinituma.
21 ili wote wawe kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe Baba umo katika muungano nami, nami nimo katika muungano nawe,+ ili wao pia wawe katika muungano nasi, ili ulimwengu uamini kwamba ulinituma.