49 Lakini mmoja wao aitwaye Kayafa,+ aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo, akawaambia: “Ninyi hamjui chochote, 50 na hamwelewi kwamba ni kwa faida yenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu kuliko taifa lote liangamizwe.”
26 La sivyo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua mara moja kwa wakati wote kwenye umalizio wa mifumo ya mambo* ili kuondoa dhambi kupitia dhabihu yake mwenyewe.+