Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 “Ee upanga, amka umshambulie mchungaji wangu,+

      Mshambulie rafiki yangu,” asema Yehova wa majeshi.

      “Mpige mchungaji,+ acha kondoo watawanyike;*+

      Nami nitaugeuza mkono wangu dhidi ya watu wa hali ya chini.”

  • Yohana 11:49, 50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Lakini mmoja wao aitwaye Kayafa,+ aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo, akawaambia: “Ninyi hamjui chochote, 50 na hamwelewi kwamba ni kwa faida yenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu kuliko taifa lote liangamizwe.”

  • Waroma 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.

  • Waebrania 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 La sivyo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua mara moja kwa wakati wote kwenye umalizio wa mifumo ya mambo* ili kuondoa dhambi kupitia dhabihu yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki