Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 34:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+

  • Mika 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atasimama na kuchunga katika nguvu za Yehova,+

      Katika ukuu wa jina la Yehova Mungu wake.

      Nao watakaa kwa usalama,+

      Kwa maana sasa ukuu wake utafika kwenye miisho ya dunia.+

  • Yohana 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi ndiye mchungaji mwema;+ mchungaji mwema huutoa uhai wake* kwa ajili ya kondoo.+

  • Waebrania 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki