Ezekieli 34:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+ Mika 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Atasimama na kuchunga katika nguvu za Yehova,+Katika ukuu wa jina la Yehova Mungu wake. Nao watakaa kwa usalama,+Kwa maana sasa ukuu wake utafika kwenye miisho ya dunia.+ Yohana 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ndiye mchungaji mwema;+ mchungaji mwema huutoa uhai wake* kwa ajili ya kondoo.+ Waebrania 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele,
23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+
4 Atasimama na kuchunga katika nguvu za Yehova,+Katika ukuu wa jina la Yehova Mungu wake. Nao watakaa kwa usalama,+Kwa maana sasa ukuu wake utafika kwenye miisho ya dunia.+
20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele,