Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku wa leo, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika.’+

  • Mathayo 26:55, 56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Saa hiyo, Yesu akauambia umati: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi? Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi hekaluni nikifundisha+ lakini hamkunikamata.+ 56 Lakini yote haya yametokea ili kutimiza mambo yaliyoandikwa* na manabii.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+

  • Marko 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika.’+

  • Marko 14:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Ndipo wote wakamwacha na kukimbia.+

  • Yohana 16:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Tazama! Saa inakuja, na kwa kweli imefika, wakati kila mmoja wenu atatawanyika na kwenda nyumbani kwake, nanyi mtaniacha peke yangu.+ Lakini siko peke yangu, kwa sababu Baba yuko pamoja nami.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki