-
Mathayo 26:31-33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku wa leo, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika.’+ 32 Lakini baada ya kufufuliwa nitawatangulia kuingia Galilaya.”+ 33 Lakini Petro akajibu: “Hata wengine wote wakikwazika kuhusiana nawe, mimi sitakwazika kamwe!”+
-