Isaya 53:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?* Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+ Danieli 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+ “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+ Matendo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini kwa njia hiyo Mungu ametimiza mambo aliyotangaza mapema kupitia kinywa cha manabii wote, kwamba Kristo wake angeteseka.+
8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?* Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+
26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+ “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+
18 Lakini kwa njia hiyo Mungu ametimiza mambo aliyotangaza mapema kupitia kinywa cha manabii wote, kwamba Kristo wake angeteseka.+