43 Kwa sababu siku zitakuja, adui zako watakapojenga ngome yenye miti iliyochongoka kukuzunguka, nao watakuzingira kila upande.+ 44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe lingine,+ kwa sababu hukutambua wakati wa kukaguliwa kwako.”