28 Yesu akawageukia wanawake hao na kuwaambia: “Binti za Yerusalemu, acheni kunililia. Bali jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu;+ 29 kwa maana tazama! siku zinakuja ambapo watu watasema, ‘Wenye furaha ni wanawake walio tasa, wanawake ambao hawakuzaa, na wanawake ambao hawakunyonyesha!’+