Luka 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa sababu hizi ni siku za kutekeleza haki,* ili mambo yote yaliyoandikwa yatimizwe. Luka 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wataangamizwa kwa upanga na watapelekwa utekwani katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa,* mpaka nyakati zilizowekwa za mataifa* zitimie.+
24 Nao wataangamizwa kwa upanga na watapelekwa utekwani katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa,* mpaka nyakati zilizowekwa za mataifa* zitimie.+