Marko 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Lakini Yesu akalia kwa sauti kubwa, akakata pumzi.*+ Luka 23:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye Yesu akapaza sauti na kusema: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.”+ Baada ya kusema hayo akafa.*+ Yohana 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Baada ya kuipokea ile divai kali, Yesu akasema: “Imetimizwa!”+ akainamisha kichwa chake akakata pumzi.*+
46 Naye Yesu akapaza sauti na kusema: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.”+ Baada ya kusema hayo akafa.*+
30 Baada ya kuipokea ile divai kali, Yesu akasema: “Imetimizwa!”+ akainamisha kichwa chake akakata pumzi.*+