Isaya 53:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+ Mathayo 27:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yesu akapaza tena sauti kisha akafa.*+ Marko 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Lakini Yesu akalia kwa sauti kubwa, akakata pumzi.*+ Luka 23:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye Yesu akapaza sauti na kusema: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.”+ Baada ya kusema hayo akafa.*+
12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+
46 Naye Yesu akapaza sauti na kusema: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.”+ Baada ya kusema hayo akafa.*+