Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,

      Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,

      Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+

      Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+

      Aliibeba dhambi ya watu wengi,+

      Naye aliwatetea wakosaji.+

  • Mathayo 27:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Yesu akapaza tena sauti kisha akafa.*+

  • Marko 15:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini Yesu akalia kwa sauti kubwa, akakata pumzi.*+

  • Luka 23:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Naye Yesu akapaza sauti na kusema: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.”+ Baada ya kusema hayo akafa.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki