-
Matendo 8:32, 33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Alikuwa akisoma kifungu hiki cha Andiko: “Kama kondoo, alipelekwa machinjioni, na kama mwanakondoo aliye kimya mbele ya mtu anayemnyoa, vivyo hivyo yeye hafungui kinywa chake.+ 33 Alipokuwa akiaibishwa, hakutendewa kwa haki.+ Ni nani atakayeeleza habari za kizazi chake? Kwa sababu uhai wake unaondolewa duniani.”+
-