Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+

      Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake.

      Aliletwa kama kondoo machinjioni,+

      Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,

      Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+

       8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;

      Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?*

      Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+

      Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+

  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

  • Wafilipi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zaidi ya hayo, alipokuja akiwa mwanadamu,* alijinyenyekeza na kuwa mtiifu mpaka kifo,+ ndiyo, kifo juu ya mti wa mateso.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki