Isaya 53:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+ Mathayo 26:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Lakini Yesu akakaa kimya.+ Basi kuhani mkuu akamwambia: “Ninakuapisha mbele za Mungu aliye hai utuambie kama wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu!”+ Yohana 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 akaingia tena ndani ya makao ya gavana akamuuliza Yesu: “Umetoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.+
7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+
63 Lakini Yesu akakaa kimya.+ Basi kuhani mkuu akamwambia: “Ninakuapisha mbele za Mungu aliye hai utuambie kama wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu!”+