Isaya 53:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+ Matendo 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Alikuwa akisoma kifungu hiki cha Andiko: “Kama kondoo, alipelekwa machinjioni, na kama mwanakondoo aliye kimya mbele ya mtu anayemnyoa, vivyo hivyo yeye hafungui kinywa chake.+
7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake. Aliletwa kama kondoo machinjioni,+Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+
32 Alikuwa akisoma kifungu hiki cha Andiko: “Kama kondoo, alipelekwa machinjioni, na kama mwanakondoo aliye kimya mbele ya mtu anayemnyoa, vivyo hivyo yeye hafungui kinywa chake.+