Waroma 8:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ninaona kwamba mateso ya wakati huu si kitu yakilinganishwa na utukufu utakaofunuliwa ndani yetu.+ 19 Kwa kuwa uumbaji unangojea na kutazamia kwa hamu kufunuliwa kwa wana wa Mungu.+ 2 Wakorintho 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Nami nitakuwa baba kwenu,+ nanyi mtakuwa wana na mabinti kwangu,’+ asema Yehova,* Mweza Yote.”
18 Kwa maana ninaona kwamba mateso ya wakati huu si kitu yakilinganishwa na utukufu utakaofunuliwa ndani yetu.+ 19 Kwa kuwa uumbaji unangojea na kutazamia kwa hamu kufunuliwa kwa wana wa Mungu.+