2 Wakorintho 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana ingawa dhiki* ni ya muda mfupi na ni nyepesi, inatokeza kwa ajili yetu utukufu ulio mkuu* na bora zaidi na zaidi, na wa milele;+ 1 Petro 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Badala yake, endeleeni kushangilia+ kwa kadiri ambayo ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo wa utukufu wake.+
17 Kwa maana ingawa dhiki* ni ya muda mfupi na ni nyepesi, inatokeza kwa ajili yetu utukufu ulio mkuu* na bora zaidi na zaidi, na wa milele;+
13 Badala yake, endeleeni kushangilia+ kwa kadiri ambayo ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo wa utukufu wake.+