Mathayo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+ Waroma 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ninaona kwamba mateso ya wakati huu si kitu yakilinganishwa na utukufu utakaofunuliwa ndani yetu.+
12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+
18 Kwa maana ninaona kwamba mateso ya wakati huu si kitu yakilinganishwa na utukufu utakaofunuliwa ndani yetu.+