Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+ Waebrania 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu na Mkamilishaji wa imani yetu, Yesu.+ Kwa sababu ya shangwe iliyowekwa mbele yake, alivumilia mti wa mateso,* akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+
2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu na Mkamilishaji wa imani yetu, Yesu.+ Kwa sababu ya shangwe iliyowekwa mbele yake, alivumilia mti wa mateso,* akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+