Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna mtu anayekuja kwa Baba bila kupitia kwangu.+ Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+ Waebrania 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ilifaa kwamba yule ambaye kwa ajili yake na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ alipaswa kumfanya Wakili Mkuu wa wokovu wao+ awe mkamilifu kupitia mateso.+
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna mtu anayekuja kwa Baba bila kupitia kwangu.+
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+
10 Kwa maana ilifaa kwamba yule ambaye kwa ajili yake na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ alipaswa kumfanya Wakili Mkuu wa wokovu wao+ awe mkamilifu kupitia mateso.+