Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kupitia kwake kilikuwa uzima, na uzima ulikuwa nuru ya wanadamu.+

  • Yohana 6:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno niliyowaambia ni roho na ni uzima.+

  • Yohana 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Uzima wa milele ndio huu,+ wakujue wewe,* Mungu wa pekee wa kweli,+ na yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+

  • Waroma 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki