Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye akasema: “Haitoshi tu wewe kuwa mtumishi wangu

      Ili kuyainua makabila ya Yakobo

      Na kuwarudisha wale waliohifadhiwa wa Israeli.

      Nimekutoa pia ili uwe nuru ya mataifa,+

      Ili wokovu wangu ufike kwenye miisho ya dunia.”+

  • Luka 2:29-32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Sasa, Bwana Mwenye Enzi Kuu, unaruhusu mtumwa wako aende kwa amani+ kulingana na tangazo lako, 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuleta wokovu+ 31 ambayo umetayarisha machoni pa watu wote,+ 32 nuru+ ya kuondoa kitambaa* kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”

  • Yohana 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki