Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Watu waliokuwa wakitembea gizani

      Wameona nuru kuu.

      Na wale wanaokaa katika nchi ya kivuli kizito,

      Nuru imewaangazia.+

  • Isaya 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye akasema: “Haitoshi tu wewe kuwa mtumishi wangu

      Ili kuyainua makabila ya Yakobo

      Na kuwarudisha wale waliohifadhiwa wa Israeli.

      Nimekutoa pia ili uwe nuru ya mataifa,+

      Ili wokovu wangu ufike kwenye miisho ya dunia.”+

  • Mathayo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Watu wanaokaa katika giza waliona nuru kuu, na wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwaangazia.”+

  • Yohana 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nuru inang’aa gizani,+ lakini giza halijaishinda.

  • Yohana 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Basi Yesu akawaambia: “Nuru itakuwa miongoni mwenu kwa muda kidogo zaidi. Tembeeni wakati bado mna nuru, ili giza lisiwazidi nguvu; yeyote anayetembea katika giza hajui anakoenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki