-
Mathayo 4:13-16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Isitoshe, baada ya kuondoka Nazareti, akaenda kukaa Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali, 14 ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia nabii Isaya, aliyesema: 15 “Ewe nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, kando ya barabara ya bahari, ng’ambo ya Yordani, katika Galilaya ya mataifa! 16 Watu wanaokaa katika giza waliona nuru kuu, na wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwaangazia.”+
-