16 Watu wanaokaa katika giza waliona nuru kuu, na wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwaangazia.”+17 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+
8 Tena, ninawaandikia amri mpya, ambayo ni ya kweli kumhusu yeye na kuwahusu ninyi, kwa sababu giza linapitilia mbali na nuru ya kweli tayari inaangaza.+