Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Watu wanaokaa katika giza waliona nuru kuu, na wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwaangazia.”+ 17 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+

  • Yohana 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi huu ndio msingi wa hukumu: kwamba nuru imekuja ulimwenguni,+ lakini watu wamependa giza badala ya nuru, kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.

  • Yohana 12:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Nimekuja nikiwa nuru ulimwenguni,+ ili kila mtu anayeniamini asibaki gizani.+

  • 1 Yohana 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tena, ninawaandikia amri mpya, ambayo ni ya kweli kumhusu yeye na kuwahusu ninyi, kwa sababu giza linapitilia mbali na nuru ya kweli tayari inaangaza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki