Yohana 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nuru ya kweli inayowaangazia watu wa aina zote ilikuwa karibu kuja ulimwenguni.+ Yohana 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.”
8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.”