Mathayo 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mnapoenda, hubirini mkisema: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’+ Marko 1:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baada ya Yohana kukamatwa, Yesu alienda Galilaya+ akihubiri habari njema ya Mungu+ 15 akisema: “Wakati uliowekwa umefika, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni+ na muwe na imani katika habari njema.”
14 Baada ya Yohana kukamatwa, Yesu alienda Galilaya+ akihubiri habari njema ya Mungu+ 15 akisema: “Wakati uliowekwa umefika, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni+ na muwe na imani katika habari njema.”