14 Basi Yesu akarudi Galilaya+ katika nguvu za roho. Na habari nzuri kumhusu zikaenea katika maeneo yote yaliyo karibu. 15 Pia, akaanza kufundisha katika masinagogi yao, naye akaheshimiwa na watu wote.
8Muda mfupi baadaye Yesu akasafiri kutoka jiji mpaka jiji na kijiji mpaka kijiji, akihubiri na kutangaza habari njema ya Ufalme wa Mungu.+ Wale 12 walikuwa pamoja naye,