Mathayo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+ Luka 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na mponye wagonjwa walio huko na kuwaambia: ‘Ufalme wa Mungu umekuja karibu nanyi.’+
17 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+