Yohana 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi huu ndio msingi wa hukumu: kwamba nuru imekuja ulimwenguni,+ lakini watu wamependa giza badala ya nuru, kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. Yohana 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.” Yohana 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Maadamu nimo ulimwenguni, mimi ndiye nuru ya ulimwengu.”+
19 Basi huu ndio msingi wa hukumu: kwamba nuru imekuja ulimwenguni,+ lakini watu wamependa giza badala ya nuru, kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
8 12 Kisha Yesu akawaambia tena: “Mimi ndiye nuru ya ulimwengu.+ Yeyote anayenifuata hatatembea kamwe gizani, bali atakuwa na nuru+ ya uzima.”