Zaburi 98:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ameutangaza wokovu wake;+Amefunua uadilifu wake mbele ya mataifa.+ Isaya 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu. Isaya 52:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova ameufunua wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+Miisho yote ya dunia itayaona matendo ya wokovu ya* Mungu wetu.+ Matendo 13:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kwa maana Yehova* ametuamuru kwa maneno haya: ‘Nimewachagua muwe nuru ya mataifa, na muwe wokovu mpaka miisho ya dunia.’”+
10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.
10 Yehova ameufunua wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+Miisho yote ya dunia itayaona matendo ya wokovu ya* Mungu wetu.+
47 Kwa maana Yehova* ametuamuru kwa maneno haya: ‘Nimewachagua muwe nuru ya mataifa, na muwe wokovu mpaka miisho ya dunia.’”+