Zaburi 18:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Ndiyo sababu nitakutukuza wewe miongoni mwa mataifa, Ee Yehova,+Nami nitaliimbia sifa* jina lako.+ Isaya 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu. Luka 2:30-32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuleta wokovu+ 31 ambayo umetayarisha machoni pa watu wote,+ 32 nuru+ ya kuondoa kitambaa* kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”
49 Ndiyo sababu nitakutukuza wewe miongoni mwa mataifa, Ee Yehova,+Nami nitaliimbia sifa* jina lako.+
10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.
30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuleta wokovu+ 31 ambayo umetayarisha machoni pa watu wote,+ 32 nuru+ ya kuondoa kitambaa* kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”