Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.” Zaburi 117:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 117 Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+Mtukuzeni, enyi mataifa yote.*+ Isaya 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”
10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.