Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

      Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+

      Atawalipiza kisasi maadui wake+

      Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”

  • Zaburi 117:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 117 Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+

      Mtukuzeni, enyi mataifa yote.*+

  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+

      Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+

      Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki