50 Ndiyo sababu nitakushukuru wewe, Ee Yehova, miongoni mwa mataifa,+
Nami nitaliimbia sifa jina lako:+
51 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;+
Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,
Kwa Daudi na kwa uzao wake milele.”+