Zaburi 89:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nimempata Daudi mtumishi wangu;+Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta.+ Zaburi 89:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nitauimarisha uzao wake* mileleNa kukifanya kiti chake cha ufalme kidumu kama mbingu.+ Luka 1:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+ 33 naye atatawala akiwa Mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na Ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+
32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+ 33 naye atatawala akiwa Mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na Ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+