Isaya 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitawaongoza vipofu kwenye njia wasiyoijua+Na kuwafanya watembee kwenye vijia wasivyovijua.+ Nitabadili giza lililo mbele yao liwe nuru+Na kubadili eneo lenye mawemawe kuwa nchi tambarare.+ Hivyo ndivyo nitakavyowatendea, nami sitawaacha.”
16 Nitawaongoza vipofu kwenye njia wasiyoijua+Na kuwafanya watembee kwenye vijia wasivyovijua.+ Nitabadili giza lililo mbele yao liwe nuru+Na kubadili eneo lenye mawemawe kuwa nchi tambarare.+ Hivyo ndivyo nitakavyowatendea, nami sitawaacha.”