Isaya 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kile kitabu,Na kutoka katika utusitusi na giza macho ya vipofu yataona.+ Isaya 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+Na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+ Yeremia 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninawarudisha kutoka nchi ya kaskazini.+ Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Miongoni mwao kutakuwa na vipofu na vilema,+Mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja. Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+
18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kile kitabu,Na kutoka katika utusitusi na giza macho ya vipofu yataona.+
8 Ninawarudisha kutoka nchi ya kaskazini.+ Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Miongoni mwao kutakuwa na vipofu na vilema,+Mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja. Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+