34 Kwa mkono wenye nguvu, kwa mkono ulionyooshwa, na kwa ghadhabu kali nitawatoa kati ya mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa.+
12 Nitawatunza kondoo wangu kama mchungaji ambaye amewapata kondoo wake waliotawanyika na kuwalisha.+ Nitawaokoa kutoka katika maeneo yote walikotawanyika siku ya mawingu na giza zito.+