Isaya 43:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’+ Na kusini, ‘Usiwazuie. Walete wanangu kutoka mbali, na mabinti wangu kutoka kwenye miisho ya dunia,+ Yeremia 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+ “‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele.
6 Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’+ Na kusini, ‘Usiwazuie. Walete wanangu kutoka mbali, na mabinti wangu kutoka kwenye miisho ya dunia,+ Yeremia 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+ “‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele.
12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+ “‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele.