-
Isaya 42:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Hivyo ndivyo nitakavyowatendea, nami sitawaacha.”
-
-
Mathayo 9:28-30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Alipoingia ndani ya nyumba, wale wanaume vipofu wakamjia, Yesu akawauliza: “Je, mna imani kwamba ninaweza kufanya hivyo?”+ Wakamjibu: “Ndiyo Bwana.” 29 Kisha akayagusa macho yao,+ akasema: “Na itendeke kwenu kulingana na imani yenu.” 30 Na macho yao yakaanza kuona. Zaidi ya hayo, Yesu akawaonya vikali: “Msimwambie yeyote jambo hili.”+
-