Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 146:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova anafungua macho ya vipofu;+

      Yehova anawainua juu wale walioinama chini;+

      Yehova anawapenda waadilifu.

  • Isaya 42:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nitawaongoza vipofu kwenye njia wasiyoijua+

      Na kuwafanya watembee kwenye vijia wasivyovijua.+

      Nitabadili giza lililo mbele yao liwe nuru+

      Na kubadili eneo lenye mawemawe kuwa nchi tambarare.+

      Hivyo ndivyo nitakavyowatendea, nami sitawaacha.”

  • Mathayo 9:28-30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Alipoingia ndani ya nyumba, wale wanaume vipofu wakamjia, Yesu akawauliza: “Je, mna imani kwamba ninaweza kufanya hivyo?”+ Wakamjibu: “Ndiyo Bwana.” 29 Kisha akayagusa macho yao,+ akasema: “Na itendeke kwenu kulingana na imani yenu.” 30 Na macho yao yakaanza kuona. Zaidi ya hayo, Yesu akawaonya vikali: “Msimwambie yeyote jambo hili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki