Zaburi 145:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova huwategemeza wote wanaoanguka+Na kuwainua juu wote walioinama chini.+ 2 Wakorintho 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini Mungu, ambaye huwafariji wale waliovunjika moyo,+ alitufariji kwa kuwapo kwa Tito;