Zaburi 37:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova huongoza* hatua za mtu+Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+ 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+ Zaburi 94:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Niliposema: “Mguu wangu unateleza,” Upendo wako mshikamanifu, Ee Yehova, uliendelea kunitegemeza.+
23 Yehova huongoza* hatua za mtu+Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+ 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+
18 Niliposema: “Mguu wangu unateleza,” Upendo wako mshikamanifu, Ee Yehova, uliendelea kunitegemeza.+