Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+ Methali 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mwadilifu anaweza kuanguka mara saba, lakini atainuka tena,+Lakini waovu watakwazwa na msiba.+
16 Kwa maana mwadilifu anaweza kuanguka mara saba, lakini atainuka tena,+Lakini waovu watakwazwa na msiba.+