Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hulinda hatua za washikamanifu wake;+

      Lakini waovu watanyamazishwa gizani,+

      Kwa maana mwanadamu hashindi kwa nguvu.+

  • Zaburi 37:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+

      Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+

  • Zaburi 121:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hataruhusu kamwe mguu wako uteleze.*+

      Yeye anayekulinda hatasinzia kamwe.

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+

      Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki