1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hulinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa gizani,+Kwa maana mwanadamu hashindi kwa nguvu.+ Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+ Zaburi 121:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hataruhusu kamwe mguu wako uteleze.*+ Yeye anayekulinda hatasinzia kamwe. Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+
9 Hulinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa gizani,+Kwa maana mwanadamu hashindi kwa nguvu.+
24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+