Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa na jeshi kubwa;+Mtu hodari haokolewi na nguvu zake nyingi.+ Zekaria 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo akaniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli: ‘“Si kwa jeshi, wala si kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ asema Yehova wa majeshi.
6 Ndipo akaniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli: ‘“Si kwa jeshi, wala si kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ asema Yehova wa majeshi.