45 Daudi akamjibu hivi huyo Mfilisti: “Unakuja kupigana nami kwa upanga, mkuki, na fumo,+ lakini mimi naja kupigana nawe kwa jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.*+
7 Lakini nitaionyesha rehema nyumba ya Yuda,+ nami nitawaokoa kwa nguvu za Yehova Mungu wao;+ sitawaokoa kwa upinde au kwa upanga au kwa vita au kwa farasi au kwa wapanda farasi.”+