1 Samweli 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha shujaa mmoja akatoka katika kambi za Wafilisti; aliitwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ alikuwa na urefu wa mikono sita na shubiri moja.* 1 Samweli 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Alikuwa na mabamba ya shaba yaliyokinga miguu yake na fumo+ la shaba lililoning’inia katikati ya mabega yake.
4 Kisha shujaa mmoja akatoka katika kambi za Wafilisti; aliitwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ alikuwa na urefu wa mikono sita na shubiri moja.*
6 Alikuwa na mabamba ya shaba yaliyokinga miguu yake na fumo+ la shaba lililoning’inia katikati ya mabega yake.