Isaya 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kile kitabu,Na kutoka katika utusitusi na giza macho ya vipofu yataona.+ Isaya 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+Na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+
18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kile kitabu,Na kutoka katika utusitusi na giza macho ya vipofu yataona.+