Zaburi 95:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+ Zekaria 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+
6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+ Zekaria 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+
16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+