13 Na itatukia katika siku ile kwamba baragumu kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanyika katika nchi ya Misri+ hakika watakuja na kumwinamia+ Yehova kwenye mlima mtakatifu katika Yerusalemu.+
15 “‘Moabu ameporwa, na mtu amepanda juu ya majiji yake.+ Na vijana wao walio bora zaidi wameshuka kwenda kuuawa,’+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.+