Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 86:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mataifa yote ambayo umeyafanya, yatakuja yenyewe,+

      Nayo yatainama mbele zako, Ee Yehova,+

      Na kulipa utukufu jina lako.+

  • Isaya 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na itatukia katika siku ile kwamba baragumu kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanyika katika nchi ya Misri+ hakika watakuja na kumwinamia+ Yehova kwenye mlima mtakatifu katika Yerusalemu.+

  • Yeremia 48:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Moabu ameporwa, na mtu amepanda juu ya majiji yake.+ Na vijana wao walio bora zaidi wameshuka kwenda kuuawa,’+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.+

  • Waroma 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na tena: “Msifuni Yehova, enyi mataifa yote, na vikundi vyote vya watu vimsifu yeye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki